Friday, December 30, 2011

Bwana mdogo na shemeji

Hapa ilikuwa ni Segerea. Bw na Bibi Joseph Kamsopi Mdimi wakitabasamu kwa furaha. Nakupeni shavu hasa kwa hiyo sare yenu kama vile mmefunga ndoa jana! Safi sana nawatakia mwaka mpya wenye mafanikio.

No comments: