Thursday, December 15, 2011

Je huu ndiyo mwisho wa Torres?


Chelsea inatarajia kumuuza Torres kwa kitita cha pound 20 milioni ifikapo Januari mwakani. Tangu aliponunuliwa na Chelsea kutoka Liverpool,mchezaji huyo aliyekuwa tishio wa kupachika magoli akiwa Liverpool, ameifungia Chelsea mabao matatu tu kwenye ligi Kuu ya Barclays ya Uingereza.

No comments: