Thursday, December 8, 2011

Kahawa au Chai


Ukifika kwenyen banda la kilimo unaulizwa unataka kahawa au chai? Ndiyo, kwenye banda hilo unapata maelezo kamili ya uzalishaji na usindikaji wa kahawa au chai. Lakini ukitaka kupata kikombe cha kahawa au chai ruhusa masaa 12!

No comments: