Thursday, December 8, 2011

Mgani Mwandamizi na Mwenyekiti wa Ilolo


Furaha iliyoje kukutana na Mwenyekiti wangu! Ndivyo anavyosema Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Wakulima Bw. Nyangi alipokutana na Mwenyekiti wake wa Wilaya ya Ilolo kwenye banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika.

No comments: