Tuesday, December 27, 2011

Kanisa la Matombo

Mwili wa Bibi Chuma ulipowasili kwenye Kanisa la Matombo


Hili ndilo jengo la Kanisa Katoliki Parokia ya Matombo- Jimbo la Morogoro. Lina zaidi ya miaka 110.Banzi wa Moro amebatizwa, kupata komunio pamoja na Kipaimara ndani ya Kanisa hili katika vipindi tofauti.

No comments: