Thursday, December 8, 2011

Mkurugenzi Mstaafu bandani


Mkurugenzi Msaidizi wa Mifumo ya Kilimo na Uchumi Jamii Bw. Timothy Kirway (mwenye shati jeusi)pamoja na watoto wake walitembelea banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika mchana wa leo. Anaipenda sana Wizara yake.

No comments: