Tuesday, December 27, 2011

Mazishi ya Bibi Anastazia Hugo

Kuweka mashada ya maua juu ya kaburi kabla ya kumalizia kujengea kaburi na kuweka mfuniko
Waombolezaji makaburini
Padri anafukizia ubani kwenye ibada ya makaburini

Mwili wa Bibi Chuma ndani ya kaburi



Kuelekea makaburini
Mwili wa Bibi Chuma ndani ya Kanisa la Mtakatifu Paul Matombo Morogoro tayari kwa misa takatifu
Mwili wa Bibi Chuma unawasili nyumbani kwake Kiswira,Matombo Morogoro
Dr Gregory Mluge (kulia) mbele ya jeneza la mama yake

Mwili wa Bibi Chuma ukiwa nyumbani Makuburi-Dar Es Salaam

No comments: