Thursday, December 8, 2011

Matunda ya MATI-Ukiriguru



Leo nikiwa katika banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika napata fursa ya kukutana na wataalamu wenzangu tuliosoma pale Chuoni Ukiriguru mwaka 1981-1983.Picha ya juu Bw. Alex Semgalawe sasa mtaalamu wa matunda yupo Mpiji na picha ya chini ni Bi.Joan Kasuga mtaalamu wa utafiti mbegu za mafuta.Safi sana mates!

No comments: