Thursday, December 8, 2011

Hawa ndiyo 'queleaquelea'


Queleaquelea ni ndege waharibifu wa mazao wanapokuwa wengi na kuvamia shamba lenye mimea hasa nafaka.Ndege hawa kwetu Morogoro wanajulikana kama 'Nguya' sisi huwa tunawakamata kwa kuwatega au kuwapiga na manati kisha tunawala ni watamu. Ni kuku wadogo tu! Lakini kwetu sisi wataalamu ni ndege hatari huwa tunatumia raslimali nyingi kuwadhibiti. Fika kwenye banda la Kilimo uwaone ndege hawa 'live'

No comments: