Tuesday, July 31, 2012

Biashara huria

Baada ya kununua bidhaa inabidi kukaa chemba kujadili bei na mchuuzi kwani unaweza kupunguziwa bei kutokana na ushawishi wako kwani biashara ni huria! Usishangae boga la sh 1000 likauuzwa kwa sh 500!

No comments: