Tuesday, July 31, 2012

Hali ngumu wazee

Wakati vijana wenzake wakiwa katika pilika za kuuza biashara zao za nyanya na maboga na wengine kuuza matenga,kijana huyu(pichani)alitulalamikia kwa kusema hali ni ngumu wazee. Sijui tungemsaidiaje.Atazidi kulalamika sana wakati wenzake wakiendelea endapo hatabadilika.

No comments: