Tuesday, July 31, 2012

Maini ya NjiaPanda ya Mbande

Kama unasafiri kuelekea Dodoma njiapanda ya kwenda Kongwa na Mpwapwa sehemu inayoitwa Njiapanda ya Mbande ni maarufu kwa biashara za nyama ya kuchoma. Hata asubuhi hapa unaweza kupata maini na figo za moto!

No comments: