Friday, July 13, 2012

Karibuni wageni

Bw na Bibi Deogratias Lwezaura wakiwakarisha wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya kumpongeza binti yao Linda aliyepata Sakramenti ya Kipaimara tarehe 8/7/2012 katika Parokia ya Mtoni Kijichi-Temeke, Jimbo Kuu la Dar Es Salaam.

No comments: