Tuesday, July 31, 2012

Wanawake nao wamo

Banzi wa Moro aliinyaka picha hii wakati mwanamke huyu akiwa katika harakati za kupanga matenga kwenye lori. Miaka 20 iliyopita, mwanamke asingweza kudandia lori na kupanga matenga.Sina shaka mwanamke huyu ni mfanyabiashara wa nyanya.

No comments: