Tuesday, July 31, 2012

Hapa ndipo KILIMO IV

Hili ndilo jengo la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika lilipo mjini Dodoma al maarufu kama KILIMO IV. Ukiwa ndani ya jengo hili ni kwa kazi maalum na hakuna kulala. Wizara hulitumia jengo hili kwa mikutano mbalimbali inayofanyika mjini Dodoma. Lakini hutumika kikamilifu wakati wa vikao vya Bunge hasa Bunge la kuwasilisha Bajeti.

No comments: