Monday, July 16, 2012

Wake zetu

Kutoka kushoto Mrs Ngahulira (mke wa marehemu Thomas Ngahulira) na Mrs Banzi (Mke wa Banzi wa Moro). Marehemu Ngahulira alikuwa rafiki yangu,mfanyakazi mwenzangu na tulikuwa tukifanya kazi kwenye chumba kimoja na wote tulichagua 'black beauties' mnazoziona pichani. Karibu miaka 20 sasa lakini bado wamo.

No comments: