Monday, July 30, 2012

Wakulima wanapodanganywa kuhusu mbolea

Hivi ndivyo wakulima wanavyodanganywa. Mbolea imewekwa kwenye mifuko yenye maandishi ya lugha isiyo ya kawaida. Kwa vyovyote vile hiki si kiswahili wala kiingereza pengine unaweza kusema ni Kichina. Ni aina gani ya mbolea, hufahamu. Matumizi yake je? Hatufahamu. Hivi ndivyo wakulima wetu wanavyodanganywa. Na haya ni mojawapo wakala wa mbolea (TFRA) imegundua katika ukaguzi wake wa maduka yanayouza mbolea mkoani Ruvuma mapema mwezi Juni.

No comments: