Tuesday, July 31, 2012

Na baadaye safarini DAR

Ndivyo tunavyotumia magari ya serikali. Ni kwa safari za kikazi na si vinginevyo. Toyota Landcruiser S/W nafikiri siyo gari la kifahari eti jamani. Pichani dereva wetu Lems Nyagawa akiwa maeneo ya Dumila mkoani Morogoro tukiwa njiani kuelekea Dar tarehe 22/7/2012 baada ya kikao cha Bunge.

No comments: