Tuesday, July 3, 2012

Mhandisi Saidi Jambuya

Saidi Mohamed JAMBUYA (aliyevaa fulana ya njano) ni mmoja wa Wahandisi wa Kilimo katika Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika.Mhandisi Saidi Mohamed Jambuya. Huyu ni mzaliwa wa Kiroka, Morogoro Vijijini. Kwa sasa ndiye anayesimamia shughuli za uhandisi kilimo mkoa wa Morogoro anajua ni mashine gani zinafaa kwa aina ya udongo wa sehemu mbalimbali na mazao mbalimbali na uzoefu wa zaidi ya miaka 20 ameshariki katika shughuli mbalimbali zinazohusu mashine za kilimo. Pichani akiwa katika maonyesho ya wakulima kwenye viwanja vya Nane Nane mkoani Morogoro.

No comments: