Tuesday, July 31, 2012

Boga kwa futari

Tulipofika Wami Dakawa njiapanda ya kwenda Turiani, tulishindwa kujizuia kununua maboga. Wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, futari ya maboga ni moja ya vikoromwezo vya chakula vinavyotumika kwa futuru.Hapa tulinunua boga moja kwa kiasi cha shilingi 1000/=. Pichani Bi Ishika Mshaguley akichagua boga analolipenda!

No comments: