Tuesday, July 31, 2012

Nitakutumia nikifika Kisemvule

Huduma za M-Pesa, Tigo-Pesa na Airtel Money zimeingia kwa kasi kijijini kwetu Kisemvule-Mkuranga.Usiwe na wasiwasi ninaweza kukutumia ngawira au kupokea ngawira nikiwa Kisemvule!

No comments: