Tuesday, July 31, 2012

Dafu la Kwanza

Tupo Kisemvule takribani miaka minane sasa. Tumeanza kuonja matunda ya bustani yetu. Na hili ndilo dafu la kwanza.Mnazi ni wa Kipemba'
Na huyu alimalizia kwa kulikomba ina maana lilikuwa tamu kwelikweli!

No comments: