Friday, August 30, 2013

Delega-Mboga ya asili

Delega ni moja ya mboga za asili zinazostawishwa kwenye bustani ya RESEWO pale Kijitonyama-Kijiji cha Makumbusho.Mboga hii inanikumbusha nyumbani kwetu Morogoro.Bibi zangu walikuwa wanaipika kwa kuchanganya na ufuta na nyanya chungu. Huenda delega ni zaidi ya mboga!

No comments: