Monday, August 5, 2013

Maboga aina ya Kisasa kutoka Chamwino

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, mkoa wa Dodoma inastawisha mazao mengi yakiwemo maboga haya ambayo yamekuwa kivutio kikubwa katika maonyesho wa wakulima maarufu-Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni - Dodoma

No comments: