Friday, August 30, 2013

RESEWO wa Kijitonyama

Regent Estate Senior Women Group (RESEWO) kinatoa huduma ya chakula cha asili zikiwemo mbogamboga pia inastawisha mimea aina mbalimbali ya asili inayoweza kutibu baadhi ya magonjwa yanayowasumbua binadamu kama vile kisukari,malaria,kuvimbiwa. Kikundi hiki cha akina mama kinafanya shughuli zake katika kijiji cha Makumbusho,Kijitonyama-Dar Es Salaam.

No comments: