Thursday, August 8, 2013

Zabibu za kutengeneza mvinyo

Ni wachache wanaofahamu kuwa Tanzania inazalisha zabibu na hasa mkoa wa Dodoma. Kwenye banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Idara ya Utafiti na Maendeleo, maelezo ya ustawishaji wa zao hilo yalitolewa na watafiti kutoka kituo cha Utafiti Makutupora.Zabibu hutumika kutengeneza mvinyo au divai pia zinatumika kama kiburudisho (tunda) kwa kutafuna.

No comments: