Wednesday, August 28, 2013

Watafiti vijana na teknolojia za kilimo

Watafiti vijana Dorah Bivugile (kushoto) na Athumani Mahinda kutoka kituo cha Utafiti wa Kilimo, Makutupora,Dodoma wakionyesha teknolojia mbalimbali za kilimo zilizobuniwa na watafiti katika maonyesho ya wakulima kitaifa yaliyofanyika mjini Dodoma Agosti 2013.Ni vizuri kuwajengea uwezo watafiti vijana.

No comments: