Friday, August 30, 2013

Unapoomba kupitia mzimu

Banzi wa Moro ilimnasa kijana huyu akiwa ndani ya kijiji cha Makumbusho Kijitonyama akiomba chini ya kibanda cha mzimu. Sijui, lakini kwa kuwa nilimkuta akiwa na makabrasha huenda anaoomba apate fursa ya kusomea shahada ya PhD!

No comments: