Wednesday, August 28, 2013

Mashine ya Kupandikiza mpunga

Moja ya kazi ngumu katika kilimo cha mpunga ni kupandikiza (transplanting). Kazi hii mara nyingi hapa Tanzania hufanywa na wanawake. Mashine hii (rice transplanter) iliyoletwa kwenye maonyesho ya wakulima viwanja vya Nzuguni, Dodoma ilivutia wadau wengi wakiwemo wanafunzi ambao ni vijana.Mashine zinapotumika kwenye kilimo zinavutia vijana kukipenda kilimo hivyo kushiriki kwenye uzalishaji.

No comments: