Sunday, August 4, 2013

Miaka 16 ya kubariki ndoa yetu

Tarehe 2/8/2013 mimi na mke wangu Nancy Mbawala tumetimiza miaka 16 ya kubariki ndoa yetu. Suti yangu,viatu pamoja na shati bado vipo, ila suruali kwa sasa inabana pamoja na viatu pia. Shela ya mama tuliazima! TUNAMSHUKURU MUNGU.

No comments: