Thursday, August 8, 2013

Wanaandaa mbegu za alizeti

Nikiwa katika maonyesho ya kilimo ya Taifa 2013 viwanja vya Nzuguni - Dodoma niliwakuta akina mama hawa wakiandaa mbegu za alizeti tayari kwa mauzo kwenye banda la Halmashauri ya Wilaya, Chamwino-Dodoma.

No comments: