Monday, August 5, 2013

Msamvu Primary School bado ipo

Kwa wenyeji wa Morogoro hawawezi kuisahau Msamvu Primary School iliyopo Morogoro mjini. Shule hii ya msingi imelea watoto wengi. Nakumbuka miaka ya sabini shule hii pamoja na shule nyingine za Morogoro mjini zilikuwa zikitumika kama kambi za wanafunzi katika mashindano ya michezo iliyokuwa ikiendeshwa katika wilaya za Morogoro mjini na vijijini. Msamvu bado ipo.

No comments: