Thursday, August 8, 2013

Nyanya Banda la Chamwino

Nyanya hizi zimewavutia wengi waliotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwenye viwanja vya Nzuguni-Dodoma  maonyesho ya kilimo  Kitaifa 2013. Hizo ni nyanya aina ya Meru zilizotolewa na watafiti wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika-HORTI-Tengeru, Tanzania.

No comments: