Wednesday, August 28, 2013

Mtambo wa kusafisha mafuta ya kula

Mtambo huu wa kusafisha mafuta ya kula (k.m.alizeti) umetengenezwa na wabunifu kutoka Iringa.Ni ubunifu huu ulionyeshwa kwenye banda la Wizara ya Viwanda na Biashara huko Nzuguni Dodoma wakati wa maonyesho ya wakulima(Nanenane 2013). Gharama yake ni Tshs 75,000,000/=. Ubunifu huu unapaswa kuendelezwa.

No comments: