Wednesday, August 28, 2013

Mabus ya kwenda kasi (DART) maonyeshoni Dodoma

Nilishangaa kukuta banda la mabus ya kwenda kasi (DART) yatakayotumika jijini DAR kwenye maonyesho ya wakulima mjini dodoma mwaka huu (2013).Kweli kuna uhusiano kati ya wakulima na wanaoishi mjini. Mabus ya kwenda kasi si kwa Dar Es Salaam tu ni kwa watanzania wote wakiwemo wakulima inabidi wote tufahamu jinsi mradi huo utakavyokuwa na hatua ambayo imeshafikiwa.

No comments: