Friday, March 13, 2009

Chonde tusiruhusu watu binafsi kumiliki ardhi "for good"


Nchi jirani wanalia kwa sera za kumilikisha ardhi watu binafsi. Ikiwemo jirani zetu wa Kenya. Tatizo la ardhi nchini Kenya ni kubwa sana kuliko wengi tunavyofikiri. Wenyewe wanasema ndicho chanzo cha migogoro isiyokuwa na mwisho nchini Kenya. Nawaoma tusimilikishe ardhi kwa watu binafsi 'for good' tutajuta. Sera yetu kuhusu umilikaji wa ardhi bado ni nzuri tuirekebishe kama kuna dosari ndogondogo.

No comments: