Wednesday, March 4, 2009

Kuna hatari ya kununua chakula kingi zaidi ifikapo mwaka 2030


Si ramli. Lakini takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa Afrika kusini mwa jangwa la sahara inahatari ya kununua zaidi chakula ifikapo mwaka 2030 kuliko sehemu nyingine ya dunia. Lakini tujiulize. Iwapo kila sehemu kuna matatizo ya chakula nani atamuuzia mwenzie. Na hata hivyo, je uwezo wa kununua chakula hicho kitatatoka wapi? Tanzania tupo wapi? Tufikiri na kufanyia kazi takwimu hizi.Si ramli ni ukweli mtupu. Pengine wengi wetu tutakuwa hatupo duniani.Lakini tusije kulaumiwa na watoto au wajukuu wetu.

No comments: