Friday, March 13, 2009

Kushambuliwa kwa Mwinyi ni somo

Tujiulize tulikuwa wapi hadi Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi anashambuliwa jukwaani. Kama tulikuwa tunampenda mzee "Ruksa" kwanini tusimlinde? Si kila mtu anapendwa na wote. Tukumbuke binadamu tu tofauti. Tusiwaamini binadamu. Tukumbuke kuwa yule mwandishi aliyemrushia G.Bush viatu alikosa nafasi ya kumshambulia kwa karibu. Kama angepata nafasi hiyo ilivyotokea kwa Mwinyi Bush angetoweka! Hili ni somo.

No comments: