Tuesday, March 3, 2009

Nipo Nairobi


Nipo Nairobi tangu tarehe 1 Machi 2009. Tunakutana na watafiti wenzetu kutoka nchi zilizo katika umoja wa ASARECA wanaojishughulisha katika masuala ya Kupelemba na Kutathmini (Monitoring and Evaluation) shughuli za Utafiti na Asasi zake. Wawakilishi kutoka vyuo vikuu kama vile Eagarton wapo pia. Burundi, Rwanda na Madagascar wameleta wawakilishi wao pia ingawa wanaongea Kifaransa lakini wapo hapa na tunawasiliana kwa kiingereza. Yatakayojiri nitayaning'iniza kwenye blog hii. Kwani siyo siri. Ni warsha ya majadiliano, kuongeza maarifa na kupanga mipango ya nini kifanyike katika kuimarisha vitengo vya M&E katika Asasi zetu za Utafiti.Lengo ni kuboresha shughuli za utafiti ili kuongeza uzalishaji katika sekta ya kilimo na kuinua maisha ya wakulima wetu.

1 comment:

GERTRUDIS CANDELARIO said...

I give praise to Mr Benjamin enough for his help in securing a loan to buy our new home for our family. Benjamin was a wealth of information and he helped educate me and my family as to why a home loan was the best option for our particular situation. After conferring with Benjamin and our financial advisor everyone agreed that a home loan was the perfect solution.You can contact Mr Benjamin if you also looking for any kind of loan on Email/Whatsapp: 247officedept@gmail.com Whatsapp: +1-989-394-3740