Tuesday, March 3, 2009

Ni vizuri wakulima wanapotumia teknolojia bora

Wengi hatujafahamu umuhimu wa utafiti. Na kwanini serikali inabidi kuwekeza kwenye utafiti. Bila utafiti katika sekta yoyote hatuwezi kuboresha uzalishaji au huduma. Utafiti unahitajiwa kwenye afya, kilimo, elimu,viwanda, biashara na huduma nyinginezo.


Watafiti wanafarijika sana wanapoona kuwa teknolojia au uvumbuzi wao unatumika. Pichani mkulima akipanda mbegu bora za mahindi zilizofanyiwa utafiti.

No comments: