Friday, March 20, 2009

Kabete-Maabara Kuu ya Utafiti wa Kilimo Kenya


Hiyo ndiyo maabara kuu ya Utafiti iliyoko nchini Kenya chini ya Kenya Agricultural Research Institute (KARI) ipo Kabete- km zipatazo 10 kutoka mjini Nairobi. Hapa kuna aina zote za maabara-Biotechnology, Animal Diseases, Soil and Plant laboratories. Hapa kuna wataalamu na vifaa. Kweli pametulia.
Wataalamu wa Kutathmini na Kupelemba shughuli za Utafiti wa Kilimo kutoka Afrika ya Mashariki na Kati walitembelea kituo hicho mwanzoni mwa mwezi Machi 2009.

No comments: