Thursday, October 1, 2009

Dr. Shao - kama FORM VI vile!


Dr.Frank Shao ni mmoja ya Wakurugenzi waliopata kuongoza Idara ya Utafiti na Maendeleo. Miaka zaidi ya kumi sasa tangu astaafu lakini yu na afya na nguvu tele. Muulize Dr. Shao atakwambi ni nidhamu ya maisha na kuwa na kiasi. Angalia kinywaji anachokunywa- MAJI. Hapa alikuwa mwalikwa kwenye tafrija ya kuwaaga wastaafu wa Idara ya Utafiti na Maendeleo mwaka 2008/09

No comments: