Tuesday, October 13, 2009

Mafuta kwenye mahindi tumekwisha!


Wakati wananchi wetu wanahangaika kupata mlo. Wenzetu wako 'busy' kupata mafuta yakuendeshea mitambo kutoka mimea kama vile mahindi. Hii maana yake nini hasa? Chakula kwao kinatosheleza ila wana wasiwasi wa nishati! Upuuzi mtupu. Hivi kweli unaweza kuendesha gari kama una njaa? Watanzania lazima tuangalie suala la nishati na chakula kwa uangalifu mkubwa na kutoa kipaumbele kinachostahili tuwe makini na sera ztu vinginevyo tumekwisha.

No comments: