Friday, October 2, 2009

Makwaia wa Kuhenga


Ni mwandishi mwandamizi hapa nchini. Kalamu yake imefichua mengi na kuyaweka bayana. Ni mjuzi wa lugha pia ni mcheshi katika maisha ya kawaida. Huyu ni Makwaia wa Kuhenga. Nimemfahamu mwandishi huyu tangu miaka ya 80 na hadi leo ninapoona makala zake huwa nazikimbilia kuzisoma kwani hufanya uchambuzi wa kina.

No comments: