Friday, October 2, 2009

Hongera Dkt. Haki


Ndivyo inavyoonekana pichani. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bi. Sophia Kaduma akimpongeza na kumkabidhi Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Utafiti na Maendeleo Dkt. Jeremiah Haki. Katika hafla fupi ya kuwaaga wastaafu wa mwaka 2008/09 kutoka Idara ya Utafiti na Maendeleo. Dkt. Haki ameiongoza Idara hiyo kwa mafanikio makubwa takribani kwa miaka 10. Tafrija hiyo ilifanyika tarehe 3/07/2009 kwenye viwanja vya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika - KILIMO II.

No comments: