Tuesday, October 13, 2009

Vichwa vya Kilimo Afrika


Afrika hatujapiga hatua kubwa katika kilimo. Uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara bado ni mdogo sana. Mazao yatokanayo na mifugo nayo ni haba na duni. Matokeo yake njaa inapiga hodi kwenye bara hili. Hata viwanda vinavyohitaji mali ghafi kutokana na kilimo havitoshelezwi. Hata hivyo kuna vichwa vinavyokuna ubongo kuhakikisha kuwa Afrika inapata teknolojia bora zitakazosaidia kuinua uzalishaji katika kilimo. Angalia vichwa hivyo katika picha.

No comments: