Friday, October 2, 2009

Sisi tupo


Wakati watafiti wastaafu wakiagwa waliokuwa vijana miaka 10 iliyopita bado wapo. Pichani kutoka kulia Bi Eva Kanyeka, Smwel Undule, Deogratias Lwezaura na John Banzi wakisikiliza kwa makini wosia wa wastaafu.

No comments: