Tuesday, October 13, 2009

Mtafiti wa Kilimo inaijua Bodi ya Utendaji ya FARA na sekretariati yake?


Kama umeshafika Accra Ghana na kama wewe ni mtafiti wa kilimo lazima utakuwa umefika kwenye makao makuu ya FARA (Forum for Agricultural Research in Africa)- Ni mkono wa kiufundi wa AU katika masuala ya uendelezaji Kilimo na Uchumi wa vijijini katika Bara la Afrika. Pichani ni Bodi ya Utendaji na Sekretariati ya FARA.

No comments: