Saturday, October 10, 2009

Wanasoma wajipatie maarifa


Kuna ushahidi wa kutosha kuwa Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma. Kusoma kunakupatia maarifa, kunaburudisha na unapata taarifa mablimbali nzuri na mbaya. Tuanze sasa kusoma, tuanze kwenye familia kama inavyoonekana familia hii pichani

No comments: