Saturday, October 10, 2009

Wanashangaa maembe!


Ndiyo wanashangaa maembe. Haiwezekani mti mdogo ukazaa maembe kama yanavyoonekana pichani, tena chini chini kabisa. Usibishe. Kuna aina mbalimbali za maembe ambazo huzaa wakati ina kimo kifupi sana. Hii ni baadhi ya teknolojia za kisasa za kilimo za kuzalisha matunda. Ukitaka maelezo zaidi wasiliana na bwanashamba aliye karibu nawe, ofisi za kilimo au vituo vya utafiti.

No comments: